At-Takathur
التكاثر
8 AyaMakki

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ

Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu

1

أَلْهَىٰكُمُ ٱلتَّكَاثُرُ

Kumekushughulisheni kutafuta wingi,

2

حَتَّىٰ زُرْتُمُ ٱلْمَقَابِرَ

Mpaka mje makaburini!

3

كَلَّا سَوْفَ تَعْلَمُونَ

Sivyo hivyo! Mtakuja jua!

4

ثُمَّ كَلَّا سَوْفَ تَعْلَمُونَ

Tena sivyo hivyo! Mtakuja jua!

5

كَلَّا لَوْ تَعْلَمُونَ عِلْمَ ٱلْيَقِينِ

Sivyo hivyo! Lau mngeli jua kwa ujuzi wa yakini,

6

لَتَرَوُنَّ ٱلْجَحِيمَ

Basi bila ya shaka mtaiona Jahannamu!

7

ثُمَّ لَتَرَوُنَّهَا عَيْنَ ٱلْيَقِينِ

Tena, bila ya shaka, mtaiona kwa jicho la yakini.

8

ثُمَّ لَتُسْـَٔلُنَّ يَوْمَئِذٍ عَنِ ٱلنَّعِيمِ

Tena bila ya shaka mtaulizwa siku hiyo juu ya neema.