Vitabu vya Kiislamu
Soma, pakua na shiriki vitabu vya elimu ya Kiislamu kwa Kiswahili

Vitabu 3 vinapatikana

MUONGOZO WA HAJJ, UMRAH NA ZIYARAH
FiqhSiira

MUONGOZO WA HAJJ, UMRAH NA ZIYARAH

SHK. ABDUL KHATWAB ABDALLAH HUMEID

Kitabu hiki kimekuwa cha aina ya pekee, kwa kuwa mwandishi ametoa juhudi kubwa ya kuyawekakila mas-ala na dalili zake. Allaah atupe Twafiq sisi na yeye katika kuifikia haki na kufanya yale yanayomridhisha Allaah Subhaanahu wa Ta'alaa. ~ Abul Fadhil Qaasim Bin Mafuta Bin Qaasim.

26 kurasa20264 pakuzi
MUKHTASARI WA ADABU ZA USIKU WA NDOA
Ndoa

MUKHTASARI WA ADABU ZA USIKU WA NDOA

SHK. ISMAILI BIN MUSSA BIN KIZA

Ni mfululizo wa risala na makala mbalimbali za kielimu zenye lengo la kuondoa au kupunguza ujinga wa kutoifahamu dini katika jamii za waislamu.

16 kurasa202614 pakuzi
HIJJA NA UMRA KWA MUJIBU WA QUR'AN NA SUNNAH
Fiqh

HIJJA NA UMRA KWA MUJIBU WA QUR'AN NA SUNNAH

SHK. LUQMAAN NASSOR ABDALLA

Katika kuandaa kitabu hiki, nimezingatia sana vitabu viwili muhimu vya wanavyuoni Aziz Abdul Sheikh cha) التحقيق واإليضاح لكثير من مسائل الحج والعمرة والزيارة) hizi zama wa wakubwa bin Abdullah bin Baz (Allah amrehemu) na (المعتبر دليل (cha Sheikh Abu Yusuf bin Zabnillah bin Muhammad Al-Atir (Allah amhifadhi).

41 kurasa202517 pakuzi