Al-Humazah
الهمزة
9 AyaMakki
بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ
Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu
1
وَيْلٌۭ لِّكُلِّ هُمَزَةٍۢ لُّمَزَةٍ
Ole wake kila safihi, msengenyaji!
2
ٱلَّذِى جَمَعَ مَالًۭا وَعَدَّدَهُۥ
Aliye kusanya mali na kuyahisabu.
3
يَحْسَبُ أَنَّ مَالَهُۥٓ أَخْلَدَهُۥ
Anadhani ya kuwa mali yake yatambakisha milele!
4
كَلَّا ۖ لَيُنۢبَذَنَّ فِى ٱلْحُطَمَةِ
Hasha! Atavurumishwa katika H'ut'ama.
5
وَمَآ أَدْرَىٰكَ مَا ٱلْحُطَمَةُ
Na nani atakujuvya ni nini H'ut'ama?
6
نَارُ ٱللَّهِ ٱلْمُوقَدَةُ
Moto wa Allah ulio washwa.
7
ٱلَّتِى تَطَّلِعُ عَلَى ٱلْأَفْـِٔدَةِ
Ambao unapanda nyoyoni.
8
إِنَّهَا عَلَيْهِم مُّؤْصَدَةٌۭ
Hakika huo utafungiwa nao
9
فِى عَمَدٍۢ مُّمَدَّدَةٍۭ
Kwenye nguzo zilio nyooshwa.