Al-Fil
الفيل
5 AyaMakki

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ

Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu

1

أَلَمْ تَرَ كَيْفَ فَعَلَ رَبُّكَ بِأَصْحَٰبِ ٱلْفِيلِ

Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo watenda wale wenye tembo?

2

أَلَمْ يَجْعَلْ كَيْدَهُمْ فِى تَضْلِيلٍۢ

Kwani hakujaalia vitimbi vyao kuharibika?

3

وَأَرْسَلَ عَلَيْهِمْ طَيْرًا أَبَابِيلَ

Na akawapelekea ndege makundi kwa makundi,

4

تَرْمِيهِم بِحِجَارَةٍۢ مِّن سِجِّيلٍۢ

Wakiwatupia mawe ya udongo wa Motoni,

5

فَجَعَلَهُمْ كَعَصْفٍۢ مَّأْكُولٍۭ

Akawafanya kama majani yaliyo liwa!