Al-Fil
الفيل
5 AyaMakki
بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ
Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu
1
أَلَمْ تَرَ كَيْفَ فَعَلَ رَبُّكَ بِأَصْحَٰبِ ٱلْفِيلِ
Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo watenda wale wenye tembo?
2
أَلَمْ يَجْعَلْ كَيْدَهُمْ فِى تَضْلِيلٍۢ
Kwani hakujaalia vitimbi vyao kuharibika?
3
وَأَرْسَلَ عَلَيْهِمْ طَيْرًا أَبَابِيلَ
Na akawapelekea ndege makundi kwa makundi,
4
تَرْمِيهِم بِحِجَارَةٍۢ مِّن سِجِّيلٍۢ
Wakiwatupia mawe ya udongo wa Motoni,
5
فَجَعَلَهُمْ كَعَصْفٍۢ مَّأْكُولٍۭ
Akawafanya kama majani yaliyo liwa!