Quraysh
قريش
4 AyaMakki
بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ
Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu
1
لِإِيلَٰفِ قُرَيْشٍ
Kwa walivyo zoea Maqureshi,
2
إِۦلَٰفِهِمْ رِحْلَةَ ٱلشِّتَآءِ وَٱلصَّيْفِ
Kuzoea kwao safari za siku za baridi na siku za joto.
3
فَلْيَعْبُدُوا۟ رَبَّ هَٰذَا ٱلْبَيْتِ
Basi nawamuabudu Mola Mlezi wa Nyumba hii,
4
ٱلَّذِىٓ أَطْعَمَهُم مِّن جُوعٍۢ وَءَامَنَهُم مِّنْ خَوْفٍۭ
Ambaye anawalisha wasipate njaa, na anawalinda na khofu.