Quraysh
قريش
4 AyaMakki

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ

Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu

1

لِإِيلَٰفِ قُرَيْشٍ

Kwa walivyo zoea Maqureshi,

2

إِۦلَٰفِهِمْ رِحْلَةَ ٱلشِّتَآءِ وَٱلصَّيْفِ

Kuzoea kwao safari za siku za baridi na siku za joto.

3

فَلْيَعْبُدُوا۟ رَبَّ هَٰذَا ٱلْبَيْتِ

Basi nawamuabudu Mola Mlezi wa Nyumba hii,

4

ٱلَّذِىٓ أَطْعَمَهُم مِّن جُوعٍۢ وَءَامَنَهُم مِّنْ خَوْفٍۭ

Ambaye anawalisha wasipate njaa, na anawalinda na khofu.