Al-Kawthar
الكوثر
3 AyaMakki
بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ
Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu
1
إِنَّآ أَعْطَيْنَٰكَ ٱلْكَوْثَرَ
Hakika tumekupa kheri nyingi.
2
فَصَلِّ لِرَبِّكَ وَٱنْحَرْ
Basi sali na uchinje kwa ajili ya Mola wako Mlezi.
3
إِنَّ شَانِئَكَ هُوَ ٱلْأَبْتَرُ
Hakika anaye kuchukia ndiye aliye mpungufu.