Al-Kawthar
الكوثر
3 AyaMakki

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ

Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu

1

إِنَّآ أَعْطَيْنَٰكَ ٱلْكَوْثَرَ

Hakika tumekupa kheri nyingi.

2

فَصَلِّ لِرَبِّكَ وَٱنْحَرْ

Basi sali na uchinje kwa ajili ya Mola wako Mlezi.

3

إِنَّ شَانِئَكَ هُوَ ٱلْأَبْتَرُ

Hakika anaye kuchukia ndiye aliye mpungufu.