Al-Masad
المسد
5 AyaMakki

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ

Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu

1

تَبَّتْ يَدَآ أَبِى لَهَبٍۢ وَتَبَّ

Imeangamia mikono ya Abu Lahab, na yeye pia ameangamia.

2

مَآ أَغْنَىٰ عَنْهُ مَالُهُۥ وَمَا كَسَبَ

Hayatamfaa mali yake, wala alivyo vichuma.

3

سَيَصْلَىٰ نَارًۭا ذَاتَ لَهَبٍۢ

Atauingia Moto wenye mwako.

4

وَٱمْرَأَتُهُۥ حَمَّالَةَ ٱلْحَطَبِ

Na mkewe, mchukuzi wa kuni,

5

فِى جِيدِهَا حَبْلٌۭ مِّن مَّسَدٍۭ

Shingoni mwake iko kamba iliyo sokotwa.