Al-Falaq
الفلق
5 AyaMakki
بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ
Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu
1
قُلْ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلْفَلَقِ
Sema: Najikinga kwa Mola Mlezi wa mapambazuko,
2
مِن شَرِّ مَا خَلَقَ
Na shari ya alivyo viumba,
3
وَمِن شَرِّ غَاسِقٍ إِذَا وَقَبَ
Na shari ya giza la usiku liingiapo,
4
وَمِن شَرِّ ٱلنَّفَّٰثَٰتِ فِى ٱلْعُقَدِ
Na shari ya wanao pulizia mafundoni,
5
وَمِن شَرِّ حَاسِدٍ إِذَا حَسَدَ
Na shari ya hasidi anapo husudu.