An-Nas
الناس
6 AyaMakki

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ

Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu

1

قُلْ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلنَّاسِ

Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa wanaadamu,

2

مَلِكِ ٱلنَّاسِ

Mfalme wa wanaadamu,

3

إِلَٰهِ ٱلنَّاسِ

Mungu wa wanaadamu,

4

مِن شَرِّ ٱلْوَسْوَاسِ ٱلْخَنَّاسِ

Na shari ya wasiwasi wa Shetani, Khannas,

5

ٱلَّذِى يُوَسْوِسُ فِى صُدُورِ ٱلنَّاسِ

Anaye tia wasiwasi katika vifua vya watu,

6

مِنَ ٱلْجِنَّةِ وَٱلنَّاسِ

Kutokana na majini na wanaadamu.