An-Nas
الناس
6 AyaMakki
بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ
Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu
1
قُلْ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلنَّاسِ
Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa wanaadamu,
2
مَلِكِ ٱلنَّاسِ
Mfalme wa wanaadamu,
3
إِلَٰهِ ٱلنَّاسِ
Mungu wa wanaadamu,
4
مِن شَرِّ ٱلْوَسْوَاسِ ٱلْخَنَّاسِ
Na shari ya wasiwasi wa Shetani, Khannas,
5
ٱلَّذِى يُوَسْوِسُ فِى صُدُورِ ٱلنَّاسِ
Anaye tia wasiwasi katika vifua vya watu,
6
مِنَ ٱلْجِنَّةِ وَٱلنَّاسِ
Kutokana na majini na wanaadamu.