Ash-Sharh
الشرح
8 AyaMakki

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ

Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu

1

أَلَمْ نَشْرَحْ لَكَ صَدْرَكَ

Hatukukunjulia kifua chako?

2

وَوَضَعْنَا عَنكَ وِزْرَكَ

Na tukakuondolea mzigo wako,

3

ٱلَّذِىٓ أَنقَضَ ظَهْرَكَ

Ulio vunja mgongo wako?

4

وَرَفَعْنَا لَكَ ذِكْرَكَ

Na tukakunyanyulia utajo wako?

5

فَإِنَّ مَعَ ٱلْعُسْرِ يُسْرًا

Basi kwa hakika pamoja na uzito upo wepesi,

6

إِنَّ مَعَ ٱلْعُسْرِ يُسْرًۭا

Hakika pamoja na uzito upo wepesi.

7

فَإِذَا فَرَغْتَ فَٱنصَبْ

Na ukipata faragha, fanya juhudi.

8

وَإِلَىٰ رَبِّكَ فَٱرْغَب

Na Mola wako Mlezi ndio mshughulikie.